Sunday 15 December 2013

Bunge Tanzania mabingwa netiboli Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mara ya pili




Kepteni wa timu ya Jumuiya ya Afrika akinyanyua Kombe la Mshindi wa tatu katika Netiboli.
Rais Yoeri Kaguta Museveni akipiga danadana kabla ya pambano la Soka la fainali kati ya timu ya Bunge la Uganda na timu ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo Uganda imeshinda kwa 3-0.
Kepteni wa timu ya Netiboli ya Bunge la Tanzania Grace Kihwelu akinyanyua kombe juu baada ya kukabidhiwa na kutangazwa rasmi kuwa mabingwa wa michuano hiyo kwa netiboli.

No comments:

Post a Comment