
Tukio la KUCHUKUA FOMU litafanyika Mako Makuu ya CHAMA CHA MAPINDUZI,DODOMA kuanzia Majira ya saa 4:00 Asubuhi ya Tar.6.6.2015(Jumamosi).
Tunakutakia kila raheli Mh:Mwigulu Nchemba katika Safari yako ya kuelekea Kuliongoza Taifa hili linalo-turn to Miaka 50 Ijayo.
Kauli Mbiu yake "WAKATI NI SASA,MABADILIKO KWA VITENDO"
No comments:
Post a Comment