




Mwigulu Nchemba alikwenda mbali Zaidi kuwa,Kuna wagombea Urais wamezungukwa na MAGENGE ya WAPIGA DILI tu ambao wanageuza mchakato wa Urais kama sehemu yao ya kujiandaa kwenda kuiba mali za Umma.Hivyo huu sio wakati wa watanzania kujiuliza mara mbili nani anatakiwa kuwa Rais,Jibu ni J.POMBE MAGUFULI.
Picha na Sanga Jr.
No comments:
Post a Comment