Monday 2 December 2013

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA ALIVYOITIKISA MBARALI.


2  

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ukizungumza na wananchi baada ya kuwasili katika mji wa Igawa wakati ukielekea Ludewa wilayani Mbarali Kinana amepata nafasi ya kuongea na wananchi wa eneo hilo kama anavyoonekana Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya na Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki  Mh. Godfrey Zambi, Leo katibu mkuu huyo anafanya ziara katika wilaya ya Mbarali akikagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi kuimarisha uhai wa chama cha Mapinduzi, Katika msafara huo Kinana ameongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC  Itikadi, Siasa na Uenezi na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa   3 

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe na viongozi wenzake kama ishara ya uzinduzi wa ofisi ya CCM kata ya Ihanga Rujewa wilayani Mbarali 4 Jengo la ofisi ya CCM  kata Ihanga iliyozinduliwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo   5  

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga picha na uongozi na wafadhili waliofanikisha ujenzi wa ofisi hiyo. 6 Wajumbe wa halmashauri kuu ya wilaya wakiwa katika mkutano wa ndani na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana 7Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbarali Bw. Adam Mgoyi wa pili kutoka kulia na wataalam mbalimbali wa halmashauri hiyo wakiwa katika kikao hicho 8
Baadhi ya wajumbe wakiwa katika mkutano huo. 9Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbarali Bw. Mathayo  Mwangomo akimkaribisha katibu mkuuu pamoja na ujumbe wake katika mkutano  huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Lutheran mjini Rujewa.


No comments:

Post a Comment