Sunday 2 February 2014

NAIBU WAZIRI WA FEDHA ADAM MALIMA AFICHUA UFISADI





 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipokuwa akizungumza na wananchi wa Sirari wa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.



 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipokuwa akizungumza na wananchi wa Sirari wa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.



 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipokuwa akizungumza na wananchi wa Sirari wa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.



 Mkuu wa wilaya ya Tarime Luteni Kanali John Henjewele akimwonesha Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima (aliyevaa barghashia) na msafara wake maeneo ya mpaka wa Tanzania na Kenya katika mpaka wa Sirari. 


 Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akikagua jengo la kituo cha pamoja cha huduma za forodha cha Sirari (OSBP) ambapo amemwagiza mkuu wa wilaya ya Tarime Luteni Kanali John Henjewele na timu yake wafanyiwe tathmini ya haraka na ya kina ndani ya wiki moja kwani jingo hilo limejengwa chini ya kiwango na linanyufa nyingi hata kabla halijaanza kutumika kitu ambacho Serikali imekataa kulipokea hadi tathmini ifanyike na kupewa ushauri kulipokea au kutolipokea.



 Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akikagua jengo la kituo cha pamoja cha huduma za forodha cha Sirari (OSBP) ambapo amemwagiza mkuu wa wilaya ya Tarime Luteni Kanali John Henjewele na timu yake wafanyiwe tathmini ya haraka na ya kina ndani ya wiki moja kwani jingo hilo limejengwa chini ya kiwango na linanyufa nyingi hata kabla halijaanza kutumika kitu ambacho Serikali imekataa kulipokea hadi tathmini ifanyike na kupewa ushauri kulipokea au kutolipokea.



Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akikagua jengo la kituo cha pamoja cha huduma za forodha cha Sirari (OSBP) na kujionea ufa mojawapo ndani ya jingo la kituo hicho.(Picha zote na Eleuteri Mangi- MAELEZO, Mara).





 . Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima akiwasili katika uwanja wa ndege mkoani Mwanza akitokea mkoa wa Kagera kuendelea na ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa. Kulia ni Meneja wa TRA mkoa wa Mwanza Jeremia Lusana. 



 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima (wa pili kutoka kushoto) akiongea na viongozi wa TRA mkoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege jijini Mwanza. Wa kwaza ni Meneja wa TRA mkoa wa Mwanza Jeremia Lusana.  



 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima akisalimiana na Naibu Kamishna Uhamiaji Deogratius Magoma mara baaada ya kuwasili kituo cha Sirari wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.


 Meneja wa Mamlaka ya Mapato (TRA) mkoa wa Mara Joseph Kalinga akiteta jambo na Meneja wa Forodha mkoa wa Mara Ben Usaje wakati wa mazugumzo na Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipotembelea kituo cha forodha cha Sirari.



 Naibu Kamishna Uhamiaji Deogratius Magoma (wa kwanza kulia) akimsikiliza Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo na   Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipotembelea kituo cha forodha cha Sirari. Wa pili kutoka kushoto ni Mrakimu Mwandamizi wa Polisi OCD Sirari SSP Omari Nassri.



 Naibu Kamishna Uhamiaji Deogratius Magoma (wa kwanza kulia) akimsikiliza Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo na   Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipotembelea kituo cha forodha cha Sirari. Wa pili kutoka kushoto ni Mrakimu Mwandamizi wa Polisi OCD Sirari SSP Omari Nassri.



 Naibu Kamishna Uhamiaji Deogratius Magoma (wa kwanza kulia) akimsikiliza Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo na   Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipotembelea kituo cha forodha cha Sirari. Wa pili kutoka kushoto ni Mrakimu Mwandamizi wa Polisi OCD Sirari SSP Omari Nassri.



 Naibu Kamishna Uhamiaji Deogratius Magoma (wa kwanza kulia) akimsikiliza Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo na   Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipotembelea kituo cha forodha cha Sirari. Wa pili kutoka kushoto ni Mrakimu Mwandamizi wa Polisi OCD Sirari SSP Omari Nassri

No comments:

Post a Comment