Friday 23 May 2014

TASWIRA ZIARA YA KATIBU MKUU CCM-TAIFA JIMBONI IRAMBA,ILANI IMETEKELEZWA KWA KIWANGO CHA JUU

Mh:Mwigulu Nchemba Naibu Katibu Mkuu CCM_Bara akimpokea Katibu Mkuu CCM-Taifa Mh:Kinana hii leo alipowasili Jimboni Iramba kwaajili ya Kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ndani ya Wilya ya Iramba.Sehemu ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakiwa na Naibu Katibu Mkuu Mh:Mwigulu NChemba.
 Katibu Mkuu CCM_Taifa Mh:Kinana akishiriki Ujenzi kwenye Kituo cha Afya cha Kaselya Jimboni Iramba kwa Mh:Mwigulu Nchemba hii leo.Wananchi wa Kijiji cha Kaselya wakifurahia baada ya Kuahidiwa bati 100 Kutoka kwa Katibu Mkuu-CCM Taifa.Viongozi wakiwa kazini.
Katibu Mkuu Kanali Mstaafu Kinana akipanda Mti wa Kumbukumbu kwenye Kiwanda cha Kuchuja Alizeti Kata ya Ndago.
 Kiwanda kipya cha Kuchuja Alizeti kinachomilikiwa na Mwananchi wa kawaida ambaye alikuwa Mkulima wa Alizeti-Ndago.
Katibu Mkuu akisoma Kitabu cha Orodha ya Wananchama wa shina namba 7 Kata ya Ndago,Balozi ni huyo Kushoto kwa Katibu Mkuu.Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Iramba Yahya Nawanda akiwa na Viongozi wakitaifa wa Chama cha Mapinduzi.
Hili ni jengo la Kituo cha Afya kata ya Shelui,Jengo hili linajengwa kuwa Nguvu za Wananchi na Mbunge Mh:Mwigulu NChemba.Katibu Mkuu akimwaga Zege kusaidia Ujenzi wa Kituo cha Afya Shelui.
Mh:Mwigulu Nchemba akiweka sawa Zege kwenye Ujenzi wa Kituo cha Afya Shelui,Mbunge huyo amechangia Mifuko 100 tayari kwenye Ujenzi wa Kituo hiki.

 Makada watiifu wa Chama cha Mapinduzi wakionesha hisia zao kupitia Ujumbe wa Maandishi wakati Katibu Mkuu na msafara wake wakiwasili Shelui.
Ngoma za Asili hapa ni Shelui.Mh:Mwigulu Nchemba akicheza Ngoma ya Asili.Mh:Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye wakifurahia Jambo.
Serikali Mbili Zatosha ndio Ishara ya Vidole hivi.
Mh:Mwigulu Nchemba akichangia fedha taslimu kwa Diwani wa Kata ya Shelui kwaajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Shelui.
 Sehemu ya Mamia ya Wananchi waliofurika Shelui sokoni Kwenye Mkutano wa Katibu Mkuu Mh:Kinana.
Viongozi wa CCM Kitaifa wakibadilishana Mawazo.
 Kada wa CHADEMA akiwa amevutiwa na Mkutano wa Chama cha Mapinduzi na hatimaye Kuzamia.
Katibu Mkuu akiwasili Viwanja vya Stendi Kiomboi.
 Mambo Poaaaa!!!!!
Sehemu tu ya Wananchi wakionesha hisia zao za Furaha mara baada ya Msafara wa Katibu Mkuu kuwasili Kwenye eneo la Mkutano-Kiomboi.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Moses Nnauye akiwahutubia Wanchi wa Iramba-Kiomboi,Kubwa amesisitiza WanaCCM kuwa Wamoja kwasababu Vyama vya Upinzani ni Wasindikizaji tu.
Hisia za Mwananchi.
 Madiwani wa Chama cha Mapinduzi ndani ya Jimbo la Iramba wakisikiliza hotuba ya Katibu Mkuu.'
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi akionesha Kadi yake kwa Furaha kuujuza Umma kuwa Yeye ni CCM Damdam.Sehemu tu ya Umati uliojitokeza Mkutano wa Kiomboi.
 Mh:Mwigulu akibadilishana Mawazo na Mbunge wa Viti Maalumu Mh:Martha Mlata.Mh:Mwigulu Nchemba akiwasalimia Wananchi wake wa Kiomboi
Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi kumjua Katibu Mkuu namna alivyotekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi ndani ya Jimbo lake.
Katibu Mkuu CCM-Taifa Mh:Kinana akibadilishana Mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Singida.
Mh:Mwigulu Nchemba na Mkuu wa Mkoa wakijadiliana jambo.
 
Mh:Mwigulu akimsikiliza kwa Makini Mzee huyu mwenye Ulemavu wa Miguu wakati wa Mkutano wa Katibu Mkuu CCM-Taifa hii leo Kiomboi.
Katibu Mkuu akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Mzee Msindai.Kada wa Chadema akirudisha kadi,Alikuwa ni Mwenyekiti wa Shina(Video nzima Inaku).
 Katibu Mkuu akikagua Ujenzi wa Maabara ya Kisasa ya Shule ya Sekondari Lulumba High School iliyopo Wilayani Iramba.Wanafunzi wa Sekondari ya Lulumba wakimuaga Mbunge wao kwa Shangwe.Katibu Mkuu akisaidia Ujenzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi Misigiri-Iramba.
Picha/Maelezo na Sanga Jr.

No comments:

Post a Comment